Tamasha la wanafunzi Ninaomba kiasi tajwa hapo juu kitumike kama malipo ya posho ya Kujikimu safarini kwaBw. William Kilasi ( Afisa TEHAMA I) anayekwenda jijini Dar es Salaam tarehe 19/01/2025 hadi 24/01/2025 kwaajili ya kushiriki mafunzo ya matumizi ya mfumo wa utekelezaji wa mikataba ya utendaji kazi (Performance contract automation)

